Habari zilizotufikia hivi punde kutoka kwa sosi wetu zinasema kuwa akina Roma Mkatoliki wamepatika na wako Katika Kituo cha Polisi cha Osterbay na wako salama salimini.
Hivi karibuni Kumekuwa na Taarifa zilizozangaa kila kona kwenye vyombo vya habari na kwenye mitandao mbalimbali ya kijamaii kuwa Mwanamuziki wa miondoko ya Hip Hop Roma Mkatoliki na wenzie wanne walitekwa na watu wasiojulikana wakiwa studio ya Tongwa record.
Tutaendelea kuwajulisha kwa hatua kitakachoendelea.
HII HAPA NGOMA YA DAMU TULIZA MOYO
BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU
HII NI MO DESIGN
Post a Comment
Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.