Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

AJALI MBAYA YATOKEA MKWAJUNI KINONDONI DAR ES SALAAM... CHEKI PICHA HAPA

Umati wa watu ukijaribu kuokoa abiria waliokuwemo.

MAGARI mawili yanayosafirisha abiria jijini Dar es Salaam, leo yamegongana katika ajali iliyotokea eneo la Mkwajuni na kujeruhi vibaya abiria wake.
Mashuhuda wa tukio hilo wamesema ajali hiyo imesababishwa na gari lililokuwa linatokea Kawe kuelekea Kariakoo lililokuwa linafuka moshi na kusababisha  njia nzima kujaa moshi na hivyo kusababisha magari hayo kugongana na kuangukia bondeni.
Chanzo kutoka eneo la ajali kimesema majeruhi wengi wamepelekwa hospitali ya Mwananyamala na Muhimbili ambapo hali zao zilikuwa hazijulikani wakati mtandano huu unaingia mtamboni.

Gari lililokuwa likitokea Kawe kuelekea Kariakoo likiinuliwa.
Mwonekano wa gari lililodaiwa kutoa moshi na kusababisha…
Umati wa watu ukijaribu kuokoa abiria waliokuwemo.
Gari lililokuwa likitokea Kawe kuelekea Kariakoo likiinuliwa.
Mwonekano wa gari lililodaiwa kutoa moshi na kusababisha ajali.
Waokoaji wakimtoa abiria aliyebanwa na vyuma.
Shughuli ya uokoaji ilivyokuwa.
Majeruhi akipelekwa kupata msaada.
Mwonekano wa gari lililokuwa likitokea Makumbusho kuelekea Temeke.

Endelea kufuatilia modesigntz Beste wangu na mimi ntaendelea kukuwekea kila habari inayotua kwenye meza yangu...
USISAHAU PIA KU LIKE PAGE YETU ILI UWEZE KUPATA HABARI ZETU MOJA KWA MOJA

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top