KUNDI A
Mmoja kati ya mastaa wanaoingia kwenye kundi hili ni Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’. Huyu aliwahi kuwekewa mtego na kunaswa baada ya kukubali kujiuza kwa mwanaume aliyemtajia dau kubwa na hatimaye akaingia mkenge.
Lulu Semagongo; aliwahi kuingia kichwakichwa kwenye mtego kama wa Jack Chuz ambapo naye aliwahi kutegeshewa mwanaume na kuulizwa kama anaweza kukubali kuuza ngono kwa kiasi gani.

Hata hivyo, baadaye alishtukia mchezo licha ya mawasiliano yake na mwanaume huyo kuonekana wazi kwamba alikuwa anaelekea kuingia kingi. Isabella Francis ‘Vai wa Ukweli; Naye aliwahi kudaiwa kuyaendesha maisha yake kwa kuigiza na kujiuza pia, akawekewa mtego kama ilivyo kwa wenzake na siku ya tukio, alifika hadi ‘kiwanja’ huku akisisitiza kwamba fedha mbele. Kutokana na maelezo yake hayo, ikaonekana ni kweli huwa anafanya k’abiashara hako’ haramu.
KUNDI B
Hili ni wale ambao wanasifika kwa katabia ka’ kubadili wanaume kama nguo.
Elizabeth Michael ‘Lulu’; Kiumri anaonekana mdogo lakini naye yumo. Huyu aliwahi kuripotiwa kuwa kwenye uhusiano wa siri na marehemu Steven Kanumba kisha baadaye akadaiwa kutoka na mheshimiwa John Komba (marehemu ambaye aliwahi kukanusha uvumi huo).
Pia binti huyo anadaiwa kuwa eti alikuwa mpenzi wa huyu bilionea wa Arusha aliyefariki dunia, juzikati aitwaye Lusekelo Samson ‘Seki’ ambaye kuna kipindi pia Husna Maulid na Lulu waliwahi kudaiwa kugombana kisa kikiwa ni mwanaume huyo.
Wema Sepetu
Ukiacha wale ambao sisi hatuwajui, Wema amekuwa na msururu wa wanaume huku staili yake ikiwa ni ile ya bandika-bandua. Wanaume ambao wengi ni mastaa waliowahi kumgusa ni Herry Samir ‘Mr Blue’, marehemu Steven Kanumba, Hartman Mbilinyi, Yusuf Jumbe, Chaz Baba, CK na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Huyu pia aliwahi kupiga picha za utupu kadhaa katika kipindi chake cha ustaa, hali inayomfanya afiti kwenye Top 10 hii.
Jokate Mwegelo; ni mwanadada anayeonekana mpole sana lakini naye hawezi kukosekana kwenye orodha hii. Ni kati ya mastaa waliowahi kuwa na uhusiano na wanaume mbalimbali wakiwemo Hasheem Thabit, Diamond aliyempora kutoka kwa Wema na wengine ambao amekuwa akifanya siri.Pia ni kati ya mastaa wanaopenda sana kupiga picha za nusu utupu, tabia inayomfanya wakati mwingine atafsiriwe kuwa anatangaza biashara.
Jacqueline Wolper; Anaingia kwenye orodha hii kutokana na ukweli kwamba amekuwa akibadili wanaume mara kwa mara huku wakati mwingine akiingia kwenye migogoro ya kugombea wanaume.Aliwahi kuingia kwenye mvutano na Husna Maulid wakimgombea mwanaume aitwaye Radjabu Mwami. Pia mwanadada huyu amekuwa akihusishwa na kale kamchezo ka’ usagaji ambapo mwenyewe amekuwa akikanusha mara kwa mara.
Agness Gerald ‘Masogange’; Nani asiyemjua mwanadada huyu kwa kupiga picha za nusu utupu huku akidaiwa kuwa ni mmoja wa mastaa ambao wanaendesha maisha yao kwa kutegemea wanaume?Mkanda wake wa ngono uliwahi kuvuja na mwenyewe amekuwa hajali kulianika umbo lake tata.
Stara Thomas; ni staa ambaye amekuwa kwenye gemu la muziki kwa muda mrefu. Naye anaingia kwenye orodha hii kutokana na madai kuwa, aliwahi kuwa kwenye uhusiano wa siri na marehemu Adam Kuambiana. Pia hivi karibuni mwanaume aliyedaiwa kuwa ni mumewe aitwaye Raumu Ally alimfumania na mwanaume mwingine.
Hao ni baadhi ya mastaa ambao wanaingia kwenye orodha.
Endelea kuperuz modesigntz Beste wangu, na mimi ntaendelea kukujuza kila kinachonifikia...
USISAHAU KU LIKE PAGE YETU KAMA BADO HUJAFANYA HIVYO ILI HABARIZETU ZIKUFIKIE MOJA KWA MOJA.
BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU
HII NI MO DESIGN
Post a Comment
Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.