Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

LIVERPOOL YAIZIMA WEST BROM... MATOKEO YAKO HAPA...

Roberto Firmino alifunga bao la ushindi na kuiwezesha Liverpool kupanda hadi nafasi ya tatu katika jedwali la Primia Ligi
Mshambualia huyo mbrazil alifungia Liverpool mwisho mwisho ya kipindi cha kwanza.
Milner alifanya madhambi kipindi cha pilia lakiki Simon Mignolet, akafanikiwa kuukoa bao kutokana na mkwaju kutoka kwa Matt Phillips.
Baadaye Alberto Moreno akakosa la wazi baada ya kipa wa Albion Ben Foster kuruka kukoa kona.
Licha ya kukosa bao hilo kikosi cha Jurgen Klopp kilipata ushindi wa tatu katika mechi saba huku West Brom wakipata kipigo mara tatu mfululizo.

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top