Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

ZARI KUPIGA PICHA ZA UTUPU...

zari-10Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.
Imelda mtema
UBAVU wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ amefunguka kuwa atapiga picha moja ya utupu ili kuwakata vilimi wanaopenda kumzungumzia vibaya.
Zari ametoa kauli hiyo hivi karibuni kufuatia wafuasi wa Mtandao wa Instagram kumnanga kuwa hakutumia busara kuposti picha zake za nusu utupu akiwa mjamzito.

Kim_Kardashian_10Staa wa muziki duniani anayetokea nchini Marekani , Kimberly Kardashian ‘Kim Kardashian’.

Alisema kwa kuwa watu wameshindwa kumuelewa kipindi hicho, wakati ujao atapiga picha za utupu ili wamuone vizuri kama alivyofanya mwanamuziki wa Marekani, Kimberly Kardashian ‘Kim Kardashian’.
“Nitapiga ya utupu kabisa ili muone nikiwa mjamzito. Uzuri ni kwamba baba T (Diamond) ameshafikiria kuhusu kutafuta mdogo wa Princess Tiffah (mtoto wa Diamond),” aliandika Zari katika mtandao wake wa Instagram huku akitupia picha ya utupu ya Kim Kardashian akiwa mjamzito

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top