Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

IKO HAPA SABABU ILIYOFANYA ZIDANE AMPIGE MATERAZZI MIKA 10 ILYOPITA...


Marco Materazzi ameweka wazi kilichomfanya Zidane ampige kichwa katika mchezo wa fainali ya Kombe la dunia 2006, tofauti na ilivyokuwa inaripotiwa na wengi, Materrazi amekuwa akiombwa na vyombo mbalimbali vya habari duniani lakini alikuwa akikwepa kuzungumzia suala hilo.
A photo taken 09 July 2006 shows French midfielder Zinedine Zidane (L) gesturing after head-butting Italian defender Marco Materazzi during the World Cup 2006 final football match between Italy and France at Berlin?s Olympic Stadium.  AFP PHOTO  JOHN MACDOUGALL (Photo credit should read JOHN MACDOUGALL/AFP/Getty Images)
“Toka 2006 nimekuwa nikipokea maombi mengi ya kufanya interview, nimeamua kutoa kitabu kinachoeleza ukweli kwa sababu kila mtu anauliza ni nini nilimwambia Zidane hadi akapandwa na hasira na kunipiga kichwa, ni kweli maneno yangu yalikuwa ya kijinga lakini Zidane hakustahili kureact vile”
reuters84960060907222746_big
“Nimekuwa nikisikia vitu vingi kutoka katika miji jirani ya Rome, Naples, Turin, Milan Paris ila mimi nilimtusi kuhusu dada na sio mama yake kama nilivyosoma katika magazeti mengi, mama yangu alifariki nikiwa mdogo, hivyo nisingeweza kumtukania mama yake”

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright 2025 MO Design | Designed By Code Nirvana