Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

IKO HAPA HUKUMU ILIYOTOLEWA KWA WAHUSIKA WA MAUAJI YA ALBINO - BUKOBA


Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba leo imewahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa wawili Lameck Bazil na Pankras Minago kwa kumuua albino Magdalena AndreaHukumu hiyo imetolewa na Jaji Firmin Matogolo baada ya kuridhika na ushahidi kuwa watu hao ndiyo waliohusika na mauaji ya mlemavu huyo ambaye ni mkazi wa Wilaya ya Biharamulo mwaka 2008.
Credit:Fahari News

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top