Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

DIAFRA SAKHO KUKAA BENCHI WIKI NNE

Mshambuliaji wa West Ham na Senegal Diafra Sakho hatashiriki katika mechi ya kuwania kombe la taifa bingwa barani Afrika baada ya kuripotiwa kuwa hatacheza kwa kipindi cha wiki nane zaidi kutokana na jeraha.
Klabu ya West Ham ilisema tarehe 30 mwezi Novemba kuwa mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 hatacheza kwa wiki sita ikimaanisha kuwa hatarejea uwanjani hadi kati kati ya mwezi wa Januari.
Lakini meneja wa West Ham Slaven Bilic, amesema kuwa Sakho huenda asicheze kwa kipindi cha wiki nane na huenda sasa akarejea kati kati ya mwezi Februari.

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top