Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

MIILI YA KARNE YA 16 YAGUNDULIKA IKIWA KAIKA HALI NZURI... PICHA ZIKO HAPA...

Wana akiolojia wamegundua kaburi lenye miili ya mwanmke na watoto wake waliokuwa wamehifadhiwa karne kadhaa zilizopita.
Kaburi hilo linaloaminika kuwa la karne ya 16 hadi 11 BC lilipatikana karibu na mji wa Luxor kilomita 70 kutoka Cairo.

Kati ya vifaa vilivyo patikana ndani ya kaburi hilo ni sanamu ya mfua viuma Amenemhat akiketi kando na mke wake.
Kulingana na wana akiolojia mama alifariki akiwa na miaka 50, na uchunguzi ulionyesha kuwa alifariki kutoka na ugonjwa wa mifupa.

Watoto wawili wa kiume walikuwa na umri wa kati ya miaka 20 na 30 na walikuwa wamehifadhiwa katika hali nzuri,

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top