Mwanamke mmoja wa Jamaica anayedhaniwa kuwa mtu mkongwe zaidi duniani Violet Mos Brown amefariki akiwa na umri wa miaka 117.
Waziri Mkuu wa Jamaica alitangaza kufariki kwa mwanamke huyo kupitia mtandao wa Twitter.
HABARI KAMILI HII HAPA
BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU
HII NI MO DESIGN
Post a Comment
Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.