Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

FREEMAN MBOWE NA DC MAKONGA WAMALIZA MGOMO WA MADEREVA... TAZAMA PICHA NINI KILIJIRI...

PICHA ZOTE NA MILLARD AYO
AW1A5240

Hii ishu ya mgomo wa mabasi ya abiria tangu mwaka 2015 umeanza imegonga vichwa vya habari kwa mara ya pili.. mara ya kwanza ilikuwa April 2015, lakini ukaisha baada ya kama saa 7 hivi kupita.

AW1A5060Jana May 5 2015 ikawa stori kubwa kwa mara ya pili, madereva wa mabasi wamegoma tena.. siku ikaisha huku kukiwa hakuna muafaka ambao umepatikana kuumaliza mgomo huo.
AW1A5035
Leo tena hali ikawa kama jana, daladala na mabasi makubwa ya kwenda mikoani yote yaliendeleza mgomo.. ikafika saa sita mchana Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda na Kiongozi wa CHADEMA, Freeman Mbowe wakaongea na viongozi wa Chama cha Madereva wakakubaliana na baadae mgomo ukaisha mabasi yakaanza safari.
Jahazi limeokole
Hali ilikuwa hivi maeneo mengine, watu wanatembea kwa miguu.. wengine baiskeli.
Hali ilikuwa hivi maeneo mengine, watu wanatembea kwa miguu.. wengine baiskeli.
wa na viongozi hawa ambapo DC Makonda amewaahidi kwamba ameunda Tume ambayo itakutana na Waziri Mkuu Mizengo Pinda ili kupata tamko la Serikali kuhusu madai ya madereva hao, na majibu yatapatikana kesho asubuhi kutoka Serikalini.
AW1A5073
Malori ya mizigo yalibeba abiria pia

AW1A5084
AW1A5088
AW1A5097
Huu ndio uliokuwa usafiri katika kipindi chote cha mgomo madereva
AW1A5099
AW1A5111
AW1A5119
AW1A5142
AW1A5172
Mbunge Freeman Mbowe na DC Paul Makonda
AW1A5180
AW1A5186
AW1A5219
AW1A5227
AW1A5237
AW1A5240
IMG_2280
IMG_2285
IMG_2285
Nje ya stendi ya mabasi Ubungo hali ilikuwa hivi.

IMG_2287
Saa 7 mchana mabasi yanaanza safari baada ya makubaliano na DC Paul Makonda.

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top