Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

VIDEO... WANANCHI MANZESE WAJAZA MIFUKO YA TAKA KATIKA OFISI ZA SERIKALI YA MTAA... KISA?... SHUKA NAYO VIDEO IKO HAPA



Wakazi wa Mtaa wa Mwembeni Manzese Tiptop jijini Dar es Salaam wameamua kukusanya taka katika Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Mwembeni baada ya serikali hiyo kushindwa kuzoa taka hizo kwa muda wa Mwezi mmoja.

Wakizungumza na MO Design Tv wananchi hao wamesema kuwa viongozi wa serikali wamekuwa na kawaida ya kukusanya Ushuru wa taka kwa kila nyumba pasipo kuzoa taka hizo kwa wakati.

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright 2025 MO Design | Designed By Code Nirvana