Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

WIZKID KUTUA TENA TANZANIA... ANAFUATA NINI?... IKO HAPA

Staa wa Nigeria, Wizkid.
Staa na mkali wa Nigeria, Ayodeji Ibrahim Balogun ‘Wizkid’ amethibitishwa  na Clouds Media Group kupitia akaunti yao ya twitter  kuwa atatumbuiza kwenye show ya Fiesta, Mwanza mwishoni mwa wiki hii. Itakuwa mara ya pili muimbaji huyo kuja Tanzania  mwaka jana alitumbuiza kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.
so wapenzi wa mwanamziki huyo mwenye mbwembwe kama za Diamond mjiandae kumshuhudia live akitumbwiza jukwaani


View image on Twitter
View image on Twitter


 Follow
CloudsMediaLive @CloudsMediaLive
Deal done ndani ya Mwanza it's Already Confirmed your boy@wizkidayo ndani ya #Fiesta2016 Mwanza @BDozen

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top