Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

TETEMEKO BAYA LAIGONGA ITALIE KWA MARA NYINGINE... IKO HAPA

Tetemeko lingine baya la ardhi, limegonga maeneo ya katikati mwa Italia, mahali ambapo watu 300 waliuwawa mwezi Agosti mwaka huu.
Taarifa za awali zinasema kuwa uzito wa tetemeko hilo limefikia 6.6 katika vipimo vya Richa. Majumba kadhaa yameporomoka, likiwemo kanisa la St Benedict mjini Norcia. Hakuna taarifa zozote kuwahusu wahasiriwa au maafa. Kitovu cha tetemeko hilo lilikuwa kusini mashariki mwa mji wa Perushia. Uzito wa tetemeko hilo umesikika hadi mjini Roma, umbali wa kilomita 150.

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top