Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

CHRISTIANO RONALDO KANUNUA JUMBA HILI LA KIFAHARI YEW YORK MAREKANI... PICHA ZIKO HAPA...

Ronaldo-main
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno ambaye anaichezea klabu ya Real Madrid yaHispania Cristiano Ronaldo amefanikiwa kununua jumba la kifahari lililopo katika mji wa New York Marekani kwa dola za kimareka milioni 18 ambazo ni zaidi ya bilioni 30 za Kitanzania.
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (2)
Inaripotiwa kuwa wazo la Ronaldo kununua nyumba hiyo alilipata kutoka katika novel ya ’50 Shades of Grey’ hata hivyo ununuaji wa nyumba hiyo kwa Ronaldo unaongeza uvumi kuwa huenda ana mapango wa kwenda kucheza katika Ligi Kuu Marekani kabla hajastaafu soka.
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (1)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment
Trump-Tower-on-Fifth-Avenue
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (6)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (5)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (4)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (3)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (9)
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (8)
Ukiwa juu muonekano wa maeneo jirani
Cristiano-Ronaldo-New-York-Apartment (7)
Chumba cha kulala

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top