Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

NIMELALA NA BABA MKWE WANGU ZAIDI YA MARA12 NA SIKO TAYARI KUACHA...


Dunia hii inakoelekea sasa sio kuzuri kwani mambo mengi ya ajabu yanakuwa yakitokea kila kukicha na mengine ni ambayo hayakutakiwa kufanyika katika jamii zetu za kiafrika kulingana na mila na tamaduni zetu.

mwanamke moja ambaye hakutaka jina lake litajwe kwa vile hakutaka ijulikane kuwa janga hili limetokea katika familia yao, amesema amekuwa katika mahusiano ya kimapenzi na baba wa mumewe kwa muda mrefu yaani amekuwa katika mahusiano ya kimapenzi na Baba Mkwe wake na tayari walisha kutana kimwili zaidi ya mara kumi na mbili 12 na anasema hayuko tayari kuacha.

anasema kwa sasa wanapangilia kusafiri nje ya nchi na mpenzi wake huyo kwa muda kwa vile tayari amajigundua kuwa ni mjamzito, ujauzito aliopewa na huyo Baba Mkwe wake.

Safari hiyo imepangwa mahusui kwaajili ya kwenda kuvinjari zaidi lakini pia kuchoropoa ujauzito huo "... kwani siko tayari kuiletea aibu familiayangu..." amesema mwanamke huyo.

anasema Baba mkwe wake pamoja na kuwa ni mtu mzima tayari lakini anamuonekano wa kuvutia alafu anajua sana kuvaa kitu amabacho kinamvutia sana.

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top