Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

KINACHOENDELEA UWANJA WA TAIFA SIMBA VS URA... VIKOSI VYOTE VIKO HAPA...

DSC_0030
August 15 klabu ya Simba Sports inarudi uwanjani kucheza mechi yake ya pili ya kirafiki ya kimataifa ambayo safari hii inacheza na klabu inayomilikiwa na mamlaka ya mapato ya Uganda (URA), katika mchezo huu Simba inasemekana itachezesha vikosi viwili hili kuangalia wachezaji wake wote. hizi hapa picha za timu zikipasha misuli moto kabla ya mechi kuanza.
DSC_0026
DSC_0029
DSC_0013

URA ya Uganda ikipasha misuli moto
DSC_0021
DSC_0020
DSC_0019
DSC_0017

Hali ilivyo kwa upande wa mashabiki
DSC_0039
DSC_0038
DSC_0036
DSC_0034
First Eleven ya Simba
  1. Peter Manyika
  2. Emery Nimubona
  3. Samih Nuhu
  4. Saidi Issa
  5. Jukko Murushid
  6. Abdi Banda
  7. Awadh Juma
  8. Simon Serenkuma
  9. Issa Ngoa
  10. Kevin Ndayisenga
  11. Danny Lyanga
Kikosi kitakacho cheza baada ya mapumziko
1. Vincent Angban
2. Hassan Kessy
3. Mohamed Hussein
4. Juuko Murushid
5. Abdi Banda
6.Justice Majabvi
7. Peter Mwalyanzi
8. Saidi Ndemla
9. Mwinyi Kazimoto
10. Kevin /Danny
11. Ibra /Mgosi
URA First Eleven
1. Bweke Brian
2.Massa Simeon
3. Sekito Sam
4. Senkoom Sam
5. Kasozi Bob
6. Agabo Oscer
7. Kagima Satie
8. Kyeyune Said
9. Kalanda Frank
10. Lutimba Yayo

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top