Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

MSAFARA WA EDWARD LOWASSA WAZUIWA...

newsMchana wa leo August 13 2015 zimetufikia taarifa kutoka mkoa wa Kilimanjaro ambapo msafara wa mgombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya UKAWA 2015 Mh. Edward Lowassa, umezuiwa na Polisi... tutakujuza kwa nini msafara huo ulizuia punde taarifa rasmi zitakapotufikia...

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top