Barcelona, Hispania
KLABU ya Barcelona nchini Hispania imeingia kwenye headline leo baada ya kuvunja mkataba wake na mchezaji Sergi Guardiola saa moja baada ya kumsajili.
Hii imetokea baada ya Sergi Guardiola (hana uhusiano na Pep) kuandika kwenye mtandao wa twitter maneno ambayo yanaonesha kuuchukiza uongozi wa Barca.

Walichokisema Barca kuhusu Guardiola ni hiki hapa.
FC Barcelona imeamua kuvunja mkataba wake iliosaini na Sergi Guardiola ambaye pia aliingizwa kwenye kikosi B cha Barcelona, baada kugundua kuwa ameandika kwenye mtandao wa twitter maneno yaliyoukera uongozi wa Barca and Catalonia.
BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU
HII NI MO DESIGN
Post a Comment
Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.