Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

HIZI HAPA PICHA ZA MREMBO ANAYEDAI KUWA NA MIAKA 19 TU...


 Tunapowatazama warembo wa kiafrica ni lazima tummwagie sifa zote mwenyezi Mungu kwa uumbaji wake Bora, twaweza kusema wakati Mwenyezi Mungu anaumba warembo wa ki Africa alitenga muda maalum kwaajili ya uchongaji huo.


Beverly Thlako ni mmoja kati ya warembo wengi wa kiafrika wanaojizoleea sifa kwenye mitandao ya kijamii hasa mtandao wa Instagram, hivi karibuni Thlako ametupia picha kibao na kuutangaza umri wake kuwa ni miaka kumi na tisa tu (19) kitu ambacho wengi bado wamekitilia mashaka kulingana na muonekano wake.


Thlako ni Mbunifu wa mitindo, Model na Blogger kutoka South Africa mwenye umri wa miaka kumi na tisa (19) kama mwenyewe anavyojitangazia lakini ukimtazama anaonekana kama mwanamke wa makamo kidogo amaye yuko zaidi ya umri huo alioutaja.


Limekuwa ni jambo la kawaida sana kwa warembo wengi wakiafrika kuficha umri wao na kujitangazia kuwa na umri mdogo tofauti na mionekano yao hii haijajulika inatokana na nini lakini ni jambo ambalo linatokea maranyingi kwa warembo wengi wa kiafrika.


Toa pia maoni yako au mtazamo wako kuhusiana na madai ya Thlako na muonekano wake, lakini pia ni nini maoni yako kulingana na hili swala la warembo wengi kuficha umri wao?.











BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top