Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

IDRIS ELBA KUIGIZA KAMA JAMES BOND KATIKA 007 MPYA


PRODUCERS  wa filamu za 007 James Bond, Barbara Broccoli na Michael G. Wilson wamethibitisha kuwa Jina la Idris Elba ni miongoni mwa majina yaliyotajwa wakati wanaongea kuhusu mwigizaji wa kuigiza kama James Bond baada ya Daniel Craig kumaliza filamu yake ya mwisho ‘No Time to Die’.

 

Hii ni filamu ya 25 ya James Bond. Majina mengine yaliyotajwa kwenye mazungumzo hayo ni Tom Hardy, Henry Cavill na Regé-Jean Page.

 

Oktoba 2021 Elba alisema hatachukua kazi hio ila kuna wakati alifikiria na alikuwa na shauku ya kuigiza kama 007 James Bond. Elba ameshaonyesha uwezo mkubwa wa kuigiza kupitia show kubwa za tv kama Luther, The Wire na filamu ya The Suicide Squad.

MO Designtz


 

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top