Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

KAMA HUJAZIONA PICHA ZA SHAMBULIO LA KIGAIDI LA CLUL MAREKANI NA WATU 50 KUFARIKI, ZIKO HAPA...

June 12 2016 Wamarekani waliamka na habari za kushtukiza sana ambapo mauaji makubwa zaidi yametokea nchini humo baada ya kijana Omar Saddiqui Mateen mwenye miaka 29 kuingia club moja jimboni Florida na kufyatua risasi ambazo zilisababisha mauaji ya watu wasiopungua 50.
Taarifa zinasema kwamba kulikuwa na takribani watu 320 ndani ya klabu hiyo wakati tukio hilo linatokea na watu wengine kama 100 walichukuliwa mateka, habari zina sema kuwa kijana huyo aliyefanya shambulio hilo, Mateen, alipigwa risasi na maafisa na kufariki.
.
.
Mtuhumiwa wa mauaji hayo Omar Mateen
352F37AB00000578-0-image-a-6_1465773671891 352F39CE00000578-0-image-a-9_1465773696640 352F390500000578-0-image-a-8_1465773685576 352F391500000578-0-image-a-10_1465773717689 3531C4AE00000578-0-image-m-14_1465774183400
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
. 

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top