Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

PICHA 3 ZA STAR WA MAN UNITED ALIVYOANGUKA KWA KULA CHAKULA CHENYE SUMU...


Beki wa kati wa klabu ya Manchester United ya England ambaye pia anachezea timu ya taifa ya England Chris Smalling jina lake limeingia kwenye Kurasa baada ya kuanguka na kupasuka sehemu ya juu ya jicho la kulia akiwa katika mapumziko yake nchini Indonesia.
Kwa mujibu wa mitandao mikubwa ya habari duniani kama dailymail na mingine, imeripoti kuwa Smalling kuanguka na kupasuka sehemu ya jicho la kulia ni baada ya kula chakula ambacho kinatajwa kuwa kilikuwa na sumu.
35F2BAD800000578-3673391-image-a-103_1467648930735
Smalling alikuwa mbali na mpenzi wake Sam Cooke na alianguka na kupelekwa hospitali kupatiwa matibabu, beki huyo mwenye umri wa miaka 26 kwa sasa kichwani kwake kawekwa bandeji kutokana na kuumia sehemu ya juu ya jicho la kulia.
35EF353300000578-3673391-image-m-34_1467626099850

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top