Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

TANZANIA KUPOKEA DOLA MILIONI 305 UPANUZI WA BANDARI YA DSM...

Tanzania inasema kuwa itapokea dola milioni 305 kama mkopo kutoka kwa Benki ya Dunia, kugharamia upanuzi wa bandari kwenye mji wa Dar es Salaam.
Bandari hiyo ndiyo inaunganisha mataifa ya Afrika ambayo hayapakani na bahari yakiwemo Zambia, Rwanda, Malawi, Burundi na Uganda na pia eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo.
Benki ya Dunia ilisema katika ripoti ya mwaka 2014 kwamba matatizo kwenye bandari ya Dar es Salaam yalikuwa yakiigharimu Tanzania na majirani zake hadi dola milioni 2.6 kila mwaka.

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top