Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

WAJIMBAJI MADINI 14 WAFUKIWA NA MGODI TANZANIA...

Wachimba mgodi 14 wamekwama ndani ya mgodi baada ya kuporomoka eneo lililo kaskazini magharibi mwa Tanzania.
Wafanya kazi hao wakiwemo raia mmoja wa China na 13 wa Tanzania, walifukiwa na udongo umbali ya mita 38 chini ya ardhi katika eneo linalomilikiwa na kampuni ya Kichina.
Kulinga na kituo cha runinga cha ITV jitihada za uokoaji zinaendelea.
Kamishina wa eneo la Geita Ezekiel Kyunga, ambaye yuko eneo hilo aliiambia runinga ya taifa kuwa anaamini wataokolewa wakiwa hai.
Mwezi Machi mwaka uliopita, wachimba mgodi watano sehemu tofauti ya eneo hilo, waliaga dunia baada wa kukwama chini ya ardhi wakitafuta dhahabu.

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top