MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva anayefanya sanaa yake tofauti na wasanii wengine, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego‘ inadaiwa amekamatwa na polisi mkoani Morogoro akiwa Hotelini mara tu baada ya kumaliza kazi zake zilizompeleka huko.
Msanii huyo amekuwa akiimba nyimbo zenye tungo tata na inadaiwa huwenda amekamatwa kwa ajili ya kutumbuiza wimbo wake mpya uitwao ‘Wapo’, unaoendelea kusambazwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU
HII NI MO DESIGN
Post a Comment
Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.