Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

DIAMOND PLATNUMZ AZIDI KUPASUA ANGA... ANG'ARA UFARANSA


Katika kile kinachoonesha kuwa mziki wa Tanzania na wanamziki wa tanzania wanazidi kukubalika kimataifa zaidi, ni hii Video ya Nitampata wapi ya Diamond Platnumz baada ya kupitishwa kuchezwa kwenye kituo cha Televisheni cha kimataifa cha Trace Urban cha nchini Ufaransa,  Video hyo bado imeendelea kufanya vizuri mpaka kupewa nafasi ya kuchezwa kama Smash Hit kwenye kituo hicho, yaani video inayokubalika kuliko.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika TV hiyo zikionesha video hiyo ikichezwa kama #SmashHit

Endelea kufuatilia Modesigntz Beste wangu wa ukweli, na mimi nitaendelea kukuletea kila habari inayotuwa kwenye meza yangu...
USISAHAU PIA KULIKE PAGE YETU ILI NAWE UWE MWANAFAMILIA NA HABARI ZETU ZIKUFIKIE MOJA KWA MOJA

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top