Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

SHETTA NA MNAIGERIA K.CEE - SHIKOROBO... ANGALIA VIDEO HAPA

Mkali wa bongoflava wa miondoko ya rap SHETTA, arudi kwa kasi ya ajabu, baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu na watu kuanza kusema kuwa amekwisha kazi yake.
Shetta amekaa zaidi ya miezi saba (7) bila kutoa chochote ambapo minongono ya chinichini ilikuwa imekwisha kuanza katika midomo ya baadhi ya watu kuwa tayari amekwisha..Sasa ameru kivingine na Ngoma moja kali sana aliyomshirikisha K.CEE, msanii toka Nigeria.

BONYEZA PLAY KUONA VIDEO

 
Shetta anatamani aone comment yako hapa chini baada ya kuiona video

Endelea kuperuz modesigntz beste wangu wa ukweli, na mimi niko pamoja na wewe kukuwekea kila stori inayonifikia.

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU ILI NA WEWE UWE MWANAFAMILIA NA HABARI ZETU ZIKUFIKIE MOJA KWA MOJA

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top