Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

TAZAMA PICHA MBALIMBALI TOKA MSIBA WA MDOGO WA CHAMELEON AKA47

IMG-20150317-WA0039

Jose Chameleone
Taarifa kutoka Uganda ambazo zimeanza kuripotiwa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari siku ya leo March  17 inahusu msiba wa msanii AK47 ambaye alikuwa akiimba muziki wa Reggae.
AK47 ni mdogo wa staa wa muziki Uganda, Jose Chameleone.. taarifa za awali ni kwamba msanii huyo amefariki jana baada ya kuanguka bafuni.
Habari kutoka Kampala Uganda msibani, zinasema kwamba familia imetoa ratiba ya msiba huo, leo mwili wa Marehemu utakuwa National Theatre  ili watu mbalimbali wapate nafasi kutoa heshima za mwisho, kesho baada ya kufanyika ibada msiba utakuwa nyumbani kwa baba wa msanii huyo kusubiri ndugu wa Marehemu waliopo nje ya nchi kufika ili kupanga ratiba ya mazishi.
Hapa kuna picha toka Uganda msibani.

PICHA ZOTE NA Millardayo.com

IMG-20150317-WA0034
Mke wa Jose Chameleone akiwa amembeba mtoto wa Marehemu, wakijadiliana kitu na ndugu wengine msibani.
.
IMG-20150317-WA0036 (1)
IMG-20150317-WA0037

Nyumbani kwa baba wa Marehemu mahali ambako uko msiba wa AK47

IMG-20150317-WA0038
IMG-20150317-WA0039
IMG-20150317-WA0040
IMG-20150317-WA0041
IMG-20150317-WA0042
IMG-20150317-WA0043
chamaeleone na wanae
IMG-20150317-WA0035
Hii ni nyumba ambayo Marehemu AK47 alikuwa bado anaijenga

#RIP Beste wetu Emmanuel Mayanja aka AK47
Endelea kufuatilia modesigntz Beste wangu wa ukweli, na mimi ntaendelea kukuwekea kila habariinayonifikia...
USISAHAU KU LIKE PAGE YATU ILI NA WEWE UWE MWANAFAMILIA NA HABARI ZETU ZIKUFIKIE MOJA KWA MOJA HAPO ULIPO

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top