Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

MATOKEO YA MECHI YA SIMBA NA URA HAYA HAPA... NA MAPICHA KIBAO...

DSC_0091
Klabu ya Soka ya Simba imerudi uwanjani August 15 kupimana nguvu na URA ya Uganda mchezo umemalizika kwa kwa timu ya Simba ambayo ndio mwenyeji wa timu ya URA kuibuka na ushindi.
Mchezo umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa goli 2-1 goli la Simba lilipatikana dakika za mwanzoni mwa mchezo, goli lilifungwa na mshambulaiji raia wa Burundi Kevin Ndayisenga aliyekuja kufanya majaribio huku goli la pili lilifungwa kipindi cha pili na Juuko Murushid, goli la kufutia machozi kwa upande wa URA  lilifungwa na  Kalanda Frank.
Hizi ni picha za mchezo
DSC_0093
DSC_0087
DSC_0084
DSC_0081
DSC_0072
DSC_0073
DSC_0074
DSC_0076
DSC_0077
DSC_0071
DSC_0041
DSC_0091

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top