Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

UKAWA WAWEKA HADHARANI MGAWANYO WA MAJIMBO LEO... PATA HABARI HAPA...

UMOJA wa Katiba ya wananchi-UKAWA leo unatarajiwa kuweka hadharani mgawanyo wa majimbo ya kugombea katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Tayari Umoja huo umeshamsimamisha Mgombea wa Kiti cha Urais kuwa ni Edward Lowasa na kabla ya kumsimamisha tayari Viongozi wakuu wa Ukawa walishathibitisha kwamba walifikia makubaliano kwa zaidi ya asilimia 95 kuhusu mgawanyo wa viti vya Ubunge na kwamba mazungumzo zaidi yalikuwa yanaendelea kuhusu majimbo 12

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top