Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

HIZI HAPA PICHA ZA BAADHI YA MASTAR WA SOKA WALIOWASILI KATIKA TIMU ZAO ZA TAIFA... RONALDO, DEPAY NA SANCHEZ..

Wiki hii ni wiki ya mechi za kimataifa kwa upande wa bara la Ulaya wao timu zao za taifa zitakuwa na mechi za kuwania kufuzu kucheza michuano ya Euro2016, ila kwa upande waAfrika timu za taifa zitacheza michezo ya kuwania kufuzu katika michuano ya AFCON 2017.
2BD8659C00000578-3217081-image-m-37_1441032271425
Memphis Depay wa Man United akiwa Uholanzi
Cristiano Ronaldo tayari yeye ameshajiunga na timu yake ya taifa ya Ureno na kuanza mazoezi. Timu ya taifa ya Ureno yenyewe itacheza mechi moja ya kirafiki siku ya Septemba 4 dhidi ya timu ya taifa ya Ufaransa kabla ya kusafiri kwenda kucheza mechi na Albania ya kuwania kufuzu Euro 2016.
Alex Sanchez naye amejiunga na timu yake ya taifa ya Chile kujiandaa na mechi za kimataifa za kirafiki ambazo zipo katika kalenda ya FIFA alipiga picha na kuweka katika mtandao wa twitterChile wataikaribisha Paraguay siku ya Jumamosi ya Septemba 5.
sanchez
2BD8629600000578-3217081-image-a-38_1441032287637
Arjen Robben akiwa Uholanzi tayari

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top