
Mabibi na mabwana wasanii wakali wa kesnya wanaojulikana kama Sauti sol kutoka nchini Kenya wameachia video ya ngoma yao ya Unconditionally bae waliyomshirikisha msanii wa Tanzania Alikiba, ni video kali na yenye kuvutia. kweli kabisa ngoma iko vizuri.
Unaweza ukaitama hapa chini
BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU
HII NI MO DESIGN
Post a Comment
Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.