Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

TANZIA:.. ASKARI WA USALAMA BARABARANI AUWAWA KWA KUPIGWA RISASI...

Watu wasiojulikana wakiwa na pikipiki aina ya Boxer, usiku wa kuamkia leo wamemuuwa kwa kumpiga risasi kadhaa katika sehemu mbalimbali za mwili wake Askari wa Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani, Ally Kinyogoli nyumbani kwake Mwandege, wilayani Mkuranga mkoani Pwani.
Baada ya kumuua, watu hao wanadaiwa kuwa walitokomea kusikojulikana bila kuchukua kitu chochote.
Kinyogoli alijizolea umaarufu katika kipindi cha redio One kila siku asubuhi alipokua akitoa taarifa za hali za barabarani zikiwemo njia zenye foleni kwa wakazi wa jijini.

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top