Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

DAVIDO NA WIZKID WAMALIZA BIFU


 WASANII wakubwa Barani Afrika na duniani, Ayodeji Ibrahim Balogun almaarufu kama  ‘Wizkid na David Adedeji Adeleke almaarufu kama ‘Davido’ wamemaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda na sasa hivi wakikutana ni amani kama inavyoonekana kwenye picha.

Hii imetokea jana baada nguli hao wa muziki barani Afrika kukutana club nchini Nigeria na kukumbatiana kwa furaha, jambo ambalo limeleta furaha kwa mashabiki wao pia kuona wakipatana tena na kuwa kitu kimoja.








BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top