Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

HARMONIZE AACHANA NA MPENZI WAKE MZUNGU

Huenda penzi la mwanamuziki na C.E.O.wa KondeGang Harmonize na mpenzi wake mzungu ambaye ni raia wa Australia Bryana likawa limevunjika kulingana na mfululizo wa post zake kupitia insta story yake.

Ikumbukwe kuwa penzi la Harmonize na Briana lilianza rasmi mwishoni mwa mwaka jana miezi kadhaa tu baada ya kuachana na aliyekua mpenzi wake Kajala.

Mbali na hayo mwanamuziki huyo ametangaza kuachia wimbo wake mpya siku ya kesho unaitwa ‘Mwaka Wangu’

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top