Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

MATUKIO KATIKA SHEREHE YA BIRTHDAY YA CHRISH WA IRENE UWOYA NA NDIKUMANA

MTOTO CHRISH( aliyeshikiliwa na baba yake) AKIMLISHA KEKI MAMA YAKE IRENE UWOYA
Tarehe 8 mwezi Mai ndio ilikuwa siku ya kuzaliwa ya Mtoto CHRISH wa nyota wa filam nchini Irene Uwaoya na mumewe ambaye ni msakata kabumbu wa Nchini Rwanda ajulikanaye kwa Jina la Ndikumana au Cut-out.
Mtoto CHRISH alifanyiwa sherehe na wazazi wake katika Ukumbi wa Shekina Garden maeneo ya Mbezi Beach. Sherehe hiyo iliudhuriwa na watu mbali mbali na wasani wa sinema na huku mtoto Chrish akisindikizwa na Babu na Bibi yake yaani Wazazi wa Irene Uwoya.
Sherehe hiyo ilifana sana ambapo kulikuwa na vituko mbalimbali vya aina yake lakini vyote ikiwa ni katika hali ya kunogesha sherehe hiyo ya kuzaliwa ya Mtoto CHRISH.
WATOTO WALIOKUJA KUSHEREKEA BIRTHDDAY YA MTOTO MWENZAO
ALMASI AMIR WA 5EFFECTS AKIWA NA JOHARI KWENYE BIRTHDAY YA MTOTO CHRISH
ALMASI AKIWA NA BAADHI YA WAALIKWA,  KULIA NI SUDI NA KUSHOTO NI WALTER
IRENE UWOYA, JOHARI NA MARIAM ISMAEL WAKIWA NA WATOTO WAALIKWA
MARIAM ISMAIL, KUPA NA AARON WA 5EFFECTS WAKIENDELEA KUFUATILIA MATUKIO KATIKA SHEREHE
AARON WA 5EFFECTS AKIWA NA WATOTO
JAMILA WA BIG DAY YA MAREHEMU KANUMBA AKIWA KWENYE TUKIO LA SHEREHE
NDIKUMANA BABA WA CHRISH AKIWA NA MTOTO CHRISH
IRENE UWOYA NA NDIKUMANA WAKIWA NA MTOTO WAO CHRISH
WILLIAM MTITU WA 5EFFECTS AKIWA NA SUDI KWENYE TUKIO
IRENE UWOYA MAMA WA CHRISH

Picha zingine na zenye matukiombali mbali ya baadhi ya vituko vilivyotokea utaendelea kuzipata hapa hapa... stey on line

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

© Copyright MO Design
Back To Top