Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

PICHA MBALIMBALI ZA WASANII WA BONGO MOVIE WAKIPOKEA MWILI WA GEORGE TYSON

Master wengi wa Bongo movie walijitokeza kwa Dr. Kairuki kuupokea mwili wa Marehem George Otieno Tyson aliyekuwa Director machachari wa filam tanzania.

PICHA ZOTE NA MILLARD AYO
Hapa anaonekana Chekibudi, Rado, Niva na wengine

Hapa yuko Ray, Farid na wengine

Hapa yuko Steve Nyerere, Wema, Ant Ezakiel na wengine

Hapa yuko Jacklin Wolper, Irene Uwoya Irene Paul na wengine

Hapa yuko Kupa, Jacklin Wolper na wengine

Hapa yuko Mtitu, Steve Nyerere na wengine
Mwili wa Marehemu George Tyson uliwasili jana jioni ya tarehe 31 Mei ukipokelewa na master waliokuwa wamefuri hapo kwa Dr. Kairuki ambapo mwili umeifadhiwa kusubiria taratibu nyingine za mazishi.
Jacklin Wolper

Irene Paul, Steve Nyerere


Mwili wa George Tyson ukiwa ndani ya jeneza hapa ukipokelewa na kuingizwa ndani ya Jengo la Dr. Kairuki

Wasanii wakihangaika kuuingiza mwili wa Marehemu ndani

Irene Uwoya na Jacklin Wolper

Gari lililobeba mwili wa Marehemu

Mwili wa maremu ukiwa ndani
Mungu ailaze Roho ya marehemu pema pemoni Ameen

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top