Ili kuzijenga Afya zetu katika mfump mzuri tunashauriwa sana kufaya mazoezi ya viungo, Kama una time asubuhi au jioni inashauriwa kufanya mazoezi, na hii haijalishi mtu ana umri gani au ana umbo la namna gani, sote tunatakiwa kufanya hivyo kwa afya zetu. hebu tazama huyu mzee ambaye umri wake ni miaka 90 na hapa yuko zake anapiga mazoezi yani kama kawaida.
Endelea kufuatilia modesigntz beste wangu, na mimi nitakusogezea kila habari inayonifikia
USISAHAU KU LIKE PAE YETU ILI NA WEWE UWE MMOJA WETU NA HABRI ZIKUFIKIE MOJA KWA MOJA ULIPO
BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU
HII NI MO DESIGN


Post a Comment
Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.