Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

SHUHUDIA PICHA ILIVYOKUWA KATIKA MAZISHI YA MEZ B

Picha zote na Millard Ayo
PBF_4318Mez B alifariki Ijumaa ya February 21 2015 nyumbani kwao Dodoma baada ya kulazwa hospitali Dodoma zaidi ya mara nne toka mwishoni mwa mwaka 2014, tatizo kubwa lilikua ni kifua na mgongo ambapo Jumatatu ya February 23 2015 akazikwa kwenye makaburi ya Wahanga Maili Mbili Dodoma.
Mpaka anafariki Mez B hakuwa ameoa wala hana mtoto ambapo pia amefariki siku chache kabla ya kuachia single yake mpya kwenye Radio na TV.
PBF_4313Baadhi ya Wasanii waliojitokeza kumzika ni pamoja na Dogo Janja na Raymond wa Tiptop Connection, Hemedy PHD, Gelly wa Rymes, Baba Levo, M2theP, Noorah na Dark Master kutoka Chemba Squad.
PBF_4311
PBF_4294PBF_4289
PBF_4287
PBF_4192PBF_4199
PBF_4212
PBF_4252PBF_4333
PBF_4354
PBF_4360PBF_4375
PBF_4380
PBF_4388PBF_4469
PBF_4487
PBF_4549PBF_4547
PBF_4539
PBF_4537PBF_4536
PBF_4532
PBF_4527PBF_4525Endelea kufuatilia modesigntz beste wangu, na mimi niko kwa ajili ya kukupa kila story inayonifikia
USISAHAU KULIKE PAGE YETU ILI NAWE UWE MWANAFAMILIA NA HABARI ZETU ZIKUFIKIE MOJA KWA MOJA HAPO ULIPO

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top