Welcome

    Featured Posts

    MO DESIGN

    Social Icons

Loading...

LICHA YA KUSTAAFU SOKA DEVID BECKHAM APEWA TUZO HII HAPA...

Winga wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United David Beckham usiku wa Septemba 1 alipewa Tuzo ya Heshima. Licha ya kuwa amestaafu wa soka bado mchango na uwezo wake aliyo uonyesha katika soka bado unatambulika na kuheshimika.
Hizi hapa ni picha za tukio lenyewe mtu wangu
2BE2BA0A00000578-3218853-image-a-51_1441140484174
2BE258EB00000578-0-image-a-3_1441137700174
2BE258AF00000578-3218853-image-m-13_1441139347180
2BE2BA0600000578-3218853-image-a-52_1441140491971
Tuzo hizo za 20 ambazo hujulikana kama Legend of Football Award alipewa na wanachama wa kamati ya Football Extravaganza na alipewa Tuzo hiyo katika ukumbi wa The Grosvenor House London usiku wa Septemba 1

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.

CodeNirvana
© Copyright MO Design
Back To Top