
Pua mbili za mbwa mwenye jina la Toby kama anavyooneakana.
HAYA tunaweza kusema ni maajabu ya dunia, kwa uharisia ni mara chache sana kuona mnyama ambaye viungo vyake vinaonekana kuwa tofauti na wenzke, kama ilivyo kwa binadamu kuwa na kilema kulingana na uumbaji wa Mwenyezi Mungu,Toby ni mbwa mwenye ulemavu wa pua.

Mbwa huyo ana pua mbilia, jiulize anapumuaje? Bw. Todd Ray kutoka alikuwa kwenye ufukwe wa Venice huko California, bahati nzuri akiwa anapungwa upepo ufwekuni hapo akamuona mbwa wa maajabu (Toby) akikatisha, kutokana na kuwa na pua mbili Toddy akavutiwa naye na kuamua kumchukua ili amtunze nyumbani kwake.
Todd anasema ‘Kila mtu akimuona Toby anavutiwa– ni mbwa mzuri kuwahi kutokea duniani.’

Bw. Todd kwa sasa ameingia kwenye kitabu cha Kumbukumbu za Dunia (Guinness) akiwa na matukio mawili makubwa likiwemo la kufuga wanyama wenye vichwa viwili.
TAZAMA MAAJABU YA MBWA HUYO
BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU
HII NI MO DESIGN
Post a Comment
Tafadhali, Usitumie lugha ya matusi! Maoni yako ni ya muhimu sana kwetu.